
Jaji wa Rufani Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi
Kamishna wa Maadili
Wasifu
Latest Downloads
Tovuti Mashuhuri
Habari
-
15
Dec
2020Jaji Mkuu amlilia Kamishna wa Maadili
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahimu Hamis Juma, hivi karibuni aliwaongoza waombolezaji kuuzika mwili wa Marehemu Mhe. Jaji (Mst.) Harold Reginald Nsekela jijini Mbeya.... Soma zaidi
-
11
Dec
2020Viongozi waaswa kusimamia Utekelezaji wa Ahadi ya Uadilifu.
Viongozi wote wanaosimamia utoaji wa huduma katika Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wanapaswa kuwajibika na kusimamia ipasavyo utekelezaji wa Ahadi ya Uadilifu kwenye maeneo yao.... Soma zaidi
-
11
Dec
2020Mkuchika azindua Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Mkuchika (Mb) amezindua maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu kitaifa Jijini Dodoma.... Soma zaidi
-
11
Dec
2020Rais Magufuli aongoza Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili na Wakazi wa Dodoma kuaga mwili wa Jaji Harold Nsekela.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli aliongoza zoezi la kuaga mwili wa aliyekuwa Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma Marehemu Mhe. Jaji (Mst.) Harold Nsekela lililofanyika katika uwanja wa Chinangali Jijini Dodoma.... Soma zaidi