Kamishna wa Maadili Mhe. Harold Nsekela akijibu Maswali ya Waandishi wa Habari wakati wa Mkutano wa Waandishi wa Habari na Wakuu wa Taasisi zinazo simamia Utawala Bora nchini katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu yanayofanyika Kitaifa jijini Dodoma.
Wakuu wa Taasisi zinazosimamia masuala ya Utawala Bora nchini wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora Mhe.George Huruma Mkuchika (Mb) katika Mkutano wa Waandishi wa Habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora Mhe.George Huruma Mkuchika (Mb) akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Jijini Dodoma.
Kamishna wa Maadili Jaji (Mst) Harold Nsekela akifafanua jambo katika semina iliyofanyika Mkoani Geita iliyokuwa na lengo la kuwakumbusha Viongozi wa Umma wa Mkoa huo kuzingatia matakwa ya Sheria ya Maadili. .
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Antony Mtaka akitoa hotuba ya ufunguzi wa mafunzo ya maadili kwa viongozi wa Umma wa Mkoa wa Simiyu yaliyoendeshwa na Kamishna wa Maadili Mhe.Jaji (Mst) Harold Nsekela mjini Bariadi Disemba 4, 2019 yaliyolenga kuwakumbusha Viongozi kuhusu uzingatiaji wa matakwa ya sheria ya Maadili hususani katika suala la Mgongano wa maslahi, ujazaji wa fomu ya rasilimali na madeni, zawadi pamoja na ahadi ya Uadilifu.
Kamishna wa Maadili, Mhe. Jaji (Mst) Harold Nsekela akisisitiza uzingatiaji wa matakwa ya sheria ya Maadili namba 13 ya mwaka 1995 wakati mafunzo ya Maadili kwa Viongozi wa Umma wa Mkoa wa Simiyu tarehe 4 Disemba 2019
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi ambaye ni Diwani wa Kata ya Somanda, Mhe.Robert Mgata akitoa neno la shukrani kwa niaba ya Viongozi wa Mkoa wa Simiyu mara baada yakumalizika kwa mafunzo ya Maadili kwa Viongozi wa Umma Mkoani hapo yaliyoendeshwa Kamishna wa Maadili Mhe.Jaji (Mst) Harold Nsekela yaliyokuwa na lengo la kuwakumbusha uzingatiaji wa matakwa ya Sheria ya Maadili.
Kamishna wa Maadili Jaji (Mst) Harold Nsekela akitoa zawadi kwa Kamishna wa Maadili wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi ya Kenya Bi. Rose Macharia kwa niaba ya wajumbe wenzake baada ya kuhitimisha ziara yao ya siku tano katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili Jijini Dodoma hivi karibuni.
Kamishna wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi ya Nchini Kenya Bi. Rose Mghoi Macharia akiongea na Wanachama wa klabu ya Maadili ya Shule ya Sekondari Dodoma, alipotembelea klabu hiyo kwa lengo la kujifunza uendeshaji wa klabu za Maadili mashuleni.
Kamishna wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi ya Nchini Kenya Bi. Rose Mghoi Macharia akipokea taarifa ya maendeleo ya klabu ya Maadili kutoka kwa mwanachama wa Klabu hiyo ya Shule ya Sekondari Dodoma Amina Alfani, alipotembelea klabu hiyo kwa lengo la kujifunza uendeshaji wa klabu za Maadili mashuleni.
Karibu
The Ethics Secretariat is an Independent Department of the Government under the President’s Office which is established under Article 132 of the 1977 Constitution of the United Republic of Tanzania. Its main function is to implement the Public Leadership Code of Ethics Act, No. 13 of 1995 (Chapter 398), specifically to monitor the ethical behavior and conduct of Public Leaders.
This website is a gateway to the useful information on promotio...
Soma zaidi