Karibu
Sekretarieti ya Maadili ni Idara Huru ya Serikali chini ya Ofisi ya Rais iliyoanzishwa chini ya Ibara ya 132 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977. Kazi yake kuu ni kutekeleza Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Na. 13 ya 1995 (Sura ya 398), hasa kufuatilia tabia na mienendo ya Viongozi wa Umma. Tovuti hii ni njia ya habari muhimu juu ya kukuza na kutekeleza kanuni na mambo ya kimaadili ambayo ni lazima yazingatiwe na Viongozi wote wa Umm... Soma zaidi
-
24
Dec
2020Rais Magufuli amuapisha Jaji Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi kuwa Kamishna wa Maadili
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemuapisha Jaji wa Mahakama ya Rufani Mhe. Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi kuwa Kamishna wa Maadili, hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino Dodoma... Soma zaidi
-
15
Dec
2020Jaji Mkuu amlilia Kamishna wa Maadili
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahimu Hamis Juma, hivi karibuni aliwaongoza waombolezaji kuuzika mwili wa Marehemu Mhe. Jaji (Mst.) Harold Reginald Nsekela jijini Mbeya... Soma zaidi
-
11
Dec
2020Viongozi waaswa kusimamia Utekelezaji wa Ahadi ya Uadilifu.
Viongozi wote wanaosimamia utoaji wa huduma katika Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wanapaswa kuwajibika na kusimamia ipasavyo utekelezaji wa Ahadi ya Uadilifu kwenye maeneo yao... Soma zaidi
-
27
Jul
2017 -
29
Jul
2017 -
25
Jul
2017 -
25
Jul
2017